Na Hosea Mchopa #UO 1
Basketball
ni mmoja ya michezo ambao Inavutia watu wengi duniani kutokana na muundo wake
na wachezaji warefu walio imara.Watu wengi wakiwa wanatazama mchezo huu
huuangalia malighafi za jezi na aina ya viatu ambavyo wachezaji mahiri kama Le
bron James huvaa.
Ili
kukidhi haja yako mpenzi wa Basketball leo #UjumeOnline #OU kwa kutumia
mitandao ya nje tumetatafiti juu ya viatu kumi ghali kabisa ambaVyo huvaliwa na nyota katika mchezo wa Basketball.
Air
force I – Lebron Jame
Kiatu
chenye mvuto wa kipekee ambacho nyota wa Basketball duniani Le Bron James
anakitumia na mwaka 2014 nike walitengeneza sneaker maalumu kwa ajili ya Le
Bron James.Bei ya kiatu hiki huendana na ubora wake ni karibu dola 2600 kwa
pea.Rangi yake nyeusi iliyotawala kiatu na nyeupe zinavutia sana zikichnagnywa na rangi
nyekundu haswa iliyonakishiwa.
9. Air Jordan XI
Air
Jordan XI
Kwa
mara ya kwanza mwaka 1995 ndipo Air Jordan zilipoanza kuonekana duniani.Michael
Jordan nyota wa kikapu duniani alizitumia
sana unakumbuka akivyoweza kuruka hewani na kutumbukiza mpira kwenye
kikapu.Zimeboreshwa zaidi na sasa gharama yake ni dola 2800. Ni kiatu ambacho kina
muonekano wa kuvutia na unakutofautisha na yeyote hakutazamae.
Golden KB8
Ukizungumzia
moja ya kiburi cha kampuni ya Adidas duniani ni Golden KB8.Ilikuwa mwaka 2004
ambapo kampuni ya Adidas walipoamua kutengeneza hivi viatu kwa ajili ya Kobe
Bryant na jezi lake namba 8.Baada ya kuvaliwa na Kobe viatu vikawa maarufu
duniani na kufikia gharama ya dola 3000.Kinachofanya ziwe ni za kipekee ni
rangi yake ya njano kama dhahabu kinavaliwa sana na nyota wa Holywood
7. Air Jordan III
Tinker
Hatfied ilimpasa awaze kwa akili ya ziada kuweza kufanya kazi ya kipekee kama
hii.Air Jordan III zilianaza kuuza suara kwenye soko kwa mara ya kwanza mwaka
1988.Unakumbuka logo ya Nike Air ilikuwa inapamba kwa mara ya kwanza.Mchezaji
Nguli wa Basketball anakiri kuwa viatu hivi ni vizuri sana.Gharama yake ni dola
Air Jordan VII – Olympic 1992
Air
Jordan VII ubunifu mwingne wa kipekee uliotumika kuumba na kukitengeneza kiatu
hiki.Mwaka 1992 kilivaliwa sana katika msahindano ya Olimpic ndipo wadau wa
Basketball tukaanza kuvutiwa sana.Kina bei ya juu sana ili kukimiliki
inahaitaji pochi yako iwe na dola 72000.
5. Air Jordan VI
Una
kiasi gani unataka kiatu kizuri cha Basketball.Air Jordani VI si rahisi
kukimiliki itakulazimu utoe dola 7500 huweze kupata kiatu hiki.Unakumbuka mechi
ya Bulls alipomfunga Lakers na kuchukua ubingwa Michae Jordan alikuwa
anakikanyaga ardhini.
Air Jordan Original
.Kwa
mara ya kwanza kilianza kung’arisha maduka ya watu mwaka 1985.Ni kiatu kizuri
na cha kipekee kwa mwanamichezo kuweza kukivaa.Dola 8000 ndio itakayokuwezesha
kukipata kiatu halisi cha Air Jordan.
Air Jordan V
Ni
kama Air Jordan XI hapa picha ya Michael Jordan akitumbiza mpira kikapuni utaiona kwa nyuma.Zilitoka matoleo mengi lakini la namba 23 lilikuwa
kiboko,ndio mana wakaamua dola 10000 ziamue umiliki wa kiatu hiki.
2. Air Mag
Waaaoh
! unaweza ukajikuta unashangaa pale ukimwona Michael J Fox akiwa amevaa Nike
Air Mag.Vina mvuto kwelikweli ni viatu vya daraja la juu duniani.Ili uweze
kuonekana wa kisasa zaidi lazima apunguze katika akaunti yako dola 12000 kuweza
kununua kiatu cha kipekee.
1. Air Jordan I –
Rangi
nyekundu isiyochubuka kirahisi ikiwa imenakishiwa karibu na rangi nyeupe
hufanya macho kupata burudani ya kipekee.Air Jordan 1 ni nambari moja hakika
kinastahili kuwa kiatu cha gharamA katika ulimwengu wa Basketball.Ili uweze
kukipata itakulazima kutunza kiasi kidogokidogo kwenye akaunti yako mpaka
zifike dolla 25000 kamili ndipo ukajitwalie.
0 maoni:
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.