Na Hosea Mchopa #UO 1

Cristiano Ronaldo ameweka rekodi binafsi kwa kufunga magoli matano kwa mara ya kwanza tangu ahamie real Madrid katika ushindi wa bao 9 vs Grananda


#hii ni kwa ajili yako.

Rekodi kali ambayo ameiweka Ronaldo Hat trick yake imechukua dakika 8 alianza kufunga dakika ya 30,36 na 38.

Ronaldo tayari ana hat trick tano huu msimu na magoli yake manne aliyofunga jana yana rekodi ya kipekee kufungwa haraka zaidi ndani ya dakika 24 tu.


Pia Ronaldo ameweza kumkuta Lionel Messi kwa kufunga hat tricks 24.

Hii ndio orodha ya waliofunga hat trick nying la liga

Cristiano Ronaldo (24) 
Lionel Messi (24) 
Telmo Zarra (22) 
Alfredo Di Stefano (22)

Ushindi wa bao 9-1 waliopata dhidi ya timu ya Granada ambayo inashika nafasi ya 19 ni mkubwa tangu wawafunge Real Sociedad idadi ya magoli kama hii mkwa 1967 septemba.

Ushindi wao mkubwa Real madrid
Real Madrid 11-1 Barcelona 1934
Real Madrid 11-2 Elche 1959-60


06 Apr 2015

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Top