MTOTO AKILILIA WEMBE MPE NI MSEMO WA KISWAHILI HUU ILA KATIKA
NCHI UINGEREZA UMETUMIKA KWA SASA .
DIMITRI PAYET AMEISUMBUA SANA KLABU YA WEST HAM HADI KUFIKIA
HATUA YA KUKATAA MAZOEZI YA KLABU HIYO.
|
Dimitri Payet amecheza dakika 1515 msimu huu katika mechi 17 za EPL |
KLABU HIYO IMEFANYA UAMUZI MGUMU BAADA YA KOCHA SLAVEN BILIC
KUZUNGUMZA WAZI KUWA WANAMUHITAJI PAYET ILA YEYE HATAKI KUICHEZEA WEST HAM KWA
SASA.
 |
Payet amezaliwa ukanda wa bahari ya Hindi katika kisiwa cha Réunion |
KLABU YA WEST HAM ILIKATAA PAUN M 20 NA NYONGEZA YA PAUN M
2.5 KUTOKA KWA MARSEILLE WAKIAMINI HAWATOWEZA KUMUUZA PAYET KWA SASA.
 |
Dimitri Pyaet mechi ya kwanza katika timu ya taifa ya ufaransa chini ya miaka 21 alitengeneza pasi ya goli kwa Jeremy Menez |
NYOTA HUYO ANATAARIFIWA ANATAKA KUREJEA NYUMBANI MARSEILLE ALIKOUZWA PAUN M
10.7 KUJA WEST HAM TAREHE 26 JUNE 2015.
NA SASA WEST HAM WANATAMBA KUWA THAMANI YAKE IMEONGEZEKA KWA
PAUN M 30 NA KUFIKIA PAUN M 40.
MPAKA SASA BILONEA WA MAREKANI FRANK Mc COURT YUKO TAYARI
KUONGEZA DAU HADI PAUN M 30 TU.
 |
Slaven Bilić aliingoza Croatia kushika nafasi ya 3 kombe la dunia mwaka 1998 |
0 maoni:
Chapisha Maoni