Na Hosea Mchopa #UO 1
King Ba mpenzi wa mwanadada Nia Guzman ambaye amezaa na Cris Brown binti aitwaye Royality.
King Ba mpenzi wa mwanadada Nia Guzman ambaye amezaa na Cris Brown binti aitwaye Royality.
![]() |
Royality akiwa na wazazi wake Nia,Cris Brown |
#hii ni kwa ajili yako
Taarifa zikufikie kuhusu King Ba
ambaye alimwacha Guzman baada ya kutambua kuwa mtoto akiyemlea si wake bali ni mtoto
halali wa Cris Brown.
Sasa King Ba ameonekana kupotezea
maneno juu ya mrembo wake Nia kutoka nje
na kuzaa na Cris Brown na kuamua kukubali kuwa baba wa kambo wa Royality.
![]() |
Cris brown,Nia Guzman na mtoto wao Royality |
King Ba ametuma picha akiwa
amepozi na Royality na kuandika ujumbe “Been
a Dad Still a Dad….Minus All the Nonsense That Been Going On We Still kick it.
![]() |
King Ba akiwa na Royality |
King Ba anaona si tatizo kubwa kwa
yeye kuendelea kuwa baba wa kambo wa Loyality,kwani hapo awali alikuwa baba wa
royality tena akiamini ni damu yake.
Ba,Nia Guzman na Loyality walishereka
pasaka pamoja na kuonyesha kuwa bado karibu wa wapenzi hao unaendelea pamoja na
Cris Brown kutambulika kuwa ndie baba halali.
0 maoni:
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.