Na Hosea Mchopa #UO 1

Na Hosea Mchopa #UO 1 
Manchester City hadi sasa imepoteza michezo minne ya ugenini baada ya mwamuzi Michael Oliver kupuliza kipyenga huku city ikiwa imelala mbele ya mashabiki 24,718 hapo jana.
Nahodha wa Man City Vincent Company


Klabu ya Manchester city imeendelea kuwapa wakati mgumu mashabiki wake kwa kukubali kichapo cha goli 2-1 didi ya klabu ya crystal palace ambayo inashika nafasi ya 11.

Palace walipata bao la kwanza dakika ya 34 likifungwa na  Murray kabla ya ya Puncheon kufunga la pili dakika ya 48.
Murray akifunga bao la kwanza dakika ya 34
Puncheon akishangilia bao la pili


Yahya Toue alifunga bao pekee dakika ya 78 kwa upande wa Manchester City.




No 1
30
37
70
No 2
31
30
63
No 3
31
27
62
No 4
31
33
61
No 5
31
9
54
No 6
31
5
54
No 7
31
20
53
No 8
31
-2
46
No 9
31
2
42
No 10
31
-4
42
07 Apr 2015

0 maoni:

Chapisha Maoni

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top