Na Hosea Mchopa #UO 1

Mwanamitindo na mwanamuziki wa Pop kutoka nchini Cameroon Dencia amemshutumu vikali kinara wa uigazaji wa Afrika mshindi wa tuzo ya oscar Lupita Nyongo kwa kuwa kimya kuhusu tukio la uagaidi lililofanyika katika chuo cha Garissa nchini Kenya.
Lupita Nyongo na Decen


#hii ni kwa ajili yako

Dencen akitumia ukrasa wake wa Instragram alionyesha alivyoumizwa na ugaidi huo uliochukua roho za wanachuo 148.

Amelaumu pia kwa ujumla washehereshaji wengi hawajisamama kwa umoja na kupigia kelele jambo kama nchi nyingine zinazofanya au kama mabara mengine wanavyofanya.

Ametolea mfano nchi kama Ufaransa ,wanasiasa,washehereshaji,wanachi huongea kwa pamoja na inaleta umoja na hamasa.


Mlimbwende huyu ambaye anayejishuhulisha pia na upande wa filamu alisema kuwa lupita Nyongo alitakiwa awe mtu wa kwanza kuongelea jambo hilo.Na angepaswa kuita hata waandishi wa habari kuongea nao kutokana na nguvu yake.

Sababu kubwa ya Dencen kumshutumu Lupita ni kwa sababu Kenya ndio nchi anayotoke
10 Apr 2015

0 maoni:

Chapisha Maoni

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top