Na hosea mchopa  
 
Katika  uwanja   wa   Karume   jijini  Dar   es  salaam   klabu ya wanachi  yanga african inafanya   mazoezi  makali   ikiwa  na   wachezaji  wapya  thaban  kamusoko kutoka  zimbwabwe na   Vincent  Bousou kutoka togo.

ujumbe online imewanasa   baaadhi ya  wachezaji    na makocha  na tutakuletea   exclusive interview zao.


huyu hapa juma abdul  beki  hatari 

beki wa klabu  yanga juma  abdul amefurahishwa na  mazoezi ya klabu   ya yanga  kuwa ni mazuri  kuelekea mchezo  wao   wa   ngao   ya   hisani.

juma  abdul   pia  amesema  kilichosabibisha  klabu  ya yanga kupoteza   katika michuano ya kagame sio   ubaya   wa  timu  bali   klabu  hiyo  haikukaa   pamoja  muda mrefu.

amesema  itafika muda kikosi kitazoeana na kitaweza kufanya kazi  kama   msimu  uliopita.
07 Aug 2015

0 maoni:

Chapisha Maoni

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top