Na hosea Mchopa #UO 1
Wakati
vijana wakitanzania wengi wetu tunaanza kuona mwanga wa maisha yetu tukiwa na
umri wa miaka 25 baada ya kumaliza mzunguko mrefu wa elimu na kupigana kupata
kazi maofisi.Kwenye umri huu angalau tunaanza kuhisi tunaweza kufika sehemu Fulani.
Hii ni yako #UO
Dunia
ipo tofauti sana kama pande za dunia zilivyo kila upande una hali yake ambayo
inafanya kuwa dunia ya kwanza au la.Kwa wenzetu mfumo wa maisha upo tofauti
sana kwa asilimia kubwa ya vijana kuweza kutambua atakuwa nani na kuanza kula
matunda yake mapema.
Kylie
Kristen Jenner amezaliwa agosti 10 mwaka 1997 na binti mdogo ambaye
anaweza kuongeza misumari ya moto kwa
vijana wengi wa kitanzania ambao wanamzunguko mrefu wa mfumo wa elimu kuweza
kufanikiwa kimaisha kutokana na taarifa mpya ambayo #UO inakuletea.
Kylie
Jenner mwanamitindo na ndugu wa mwanamitindo maarufu Kim Kardishian amenunua
nyumba mpya yenye thamani ya dola million 2.7 .
Nyumba
ambayo inakila kitu cha daraja la juu kwa binti mdogo mwenye miaka 17 kuweza
kumiliki kwa kutumia kipaji na mfumo laini wa kutoka kimaisha wa Marekani
umemwezesha kufanikisha hili.
Kwa
kuweza kuendesha glee: The 3D concert movie na The
twilight saga ,2014 much music vieo award kumeendeleza nyota ya safari ya
mafanikio katika maisha yake ya sanaa
0 maoni:
Chapisha Maoni