MICHEZO YA FA
YALIYOJIRI DIMBANI NA MECHI ZA LEO
Derby Counry 2-1
Reading
Mbele ya mwamuzi craig
Pawson mashabiki 21337
waliongia uwanjani walishuhudia Derby County ikifunga Reading kwa goli 2-1.
Magoli ya Derby yalifungwa na Robson Kanu
dakika ya 53 na mchezaji aliyetoka bench Yakubu Aiyegbeni daika ya 82.
Mshambuliaji wa ReadingDarren Bent
Mchezaji hatari wa Reading Darren Bent
alifunga goli lake moja dakika ya 61.Huku mchezaji wao Warnok akipewa kadi
nyekundu
Crystal Palace
1-2 Liverpool
Mchezaji
aliyerejea uwanjani baada ya kuwa majeruhi ,mshambuliaji Daniel Sturridge
ameisaidia timu yake kuizamisha klabu ya Crystal Palace kwa goli 2-1.
Sturridge
mwenye miaka 25 alifunga bao lake dakika ya 49 na Adam Lallana akifunga la
ushindi dakika ya 58.
Mshambuliaji wa Liverpool Daniel Sturridge akifunga goli
Kwa upande wa Palace Campell
alipatia bao dakika ya 15
Liverpool wameshinda mechi 4
kati ya 5 ambazo Surridge amecheza tangu arejee dimbani na ushindi wa jana
unawapeleka hatua ya robo fainali ya FA.
Morrison alifunga bao la pili
dakika ya 42.Kabla ya Mshambuliaji hatari Berahinho kufunga bao la mwisho dakika
ya 72
West Brom 4-0 West Ham
Mbele ya refa Martin Atson
mchezaji hatari wa klabu hiyo Brown Ideye alifunga mabao mawili katika dakika
ya 20 na 52.
Mchezaji wa West Brom Brown Ideye aipachika bao
Klabu ya West Brom imetinga
hatua ya robo fainali toka mwaka 2008 baada ya kuifunga West Ham kwa jumla ya
goli 4-0
Wachezaji wa West Brom Said Berahinho na Gadner wakifurahi ushindi
Blackburn 4 – Stoke 1
Joshua King amefanikiwa
kufunga magoli matatu 'hat trick' na kuiwezesha kalbu yake ya Blackburn
kuizamisha Stoke City kwa jumla ya
magoli 4-1.
Peter Crouch wa stoke city
alikuwa wa kwanza kuziona nyavu katika dakika ya 10 ya mchezo na kutoa mwanga
wa klabu yake.
Mchezaji wa Blackburn Joshua King akiisawazishia goli tim yake
King alifanya mauaji makubwa
dakika ya 36,50 na 55 na kufanikiwa kuondoka na mpira baada ya mchezo kuisha.
Mshambuliaji Gestede alifungia goli
Blackburn kwa njia ya penati dakika ya 45
mechi za leo
Astoni
Villa v Leicester
Bradford
v Sunderland
Arsenal
v Middlesbrough
0 maoni:
Chapisha Maoni