Na Hosea Mchopa #UO 1

Bado taarifa za mtoto wa aliyekuwa msanii maarufu na hodari wa mziki wa RnB duniani Whitney Houston ambaye tayari amefariki duniani.

Bobbi Kristina Brown zinazidi kushika ulimwengu wa vyombo vya habari duniani huku ikiripotiwa baadhi ya viungo vya mwili vimeshindwa kufanya kazi kabisa na kutumia vifaa maalumu kusaidia uhai wake usipotee.

Mpya mpenzi wa Binti huyo Nick Gordon ameonekana kushindwa kabisa kupoteza mawazo juu ya mpenzi wake na kujaribu zaidi kuomba nafasi ya kumuona alikolazwa.

Tangu januari 31 baada ya taarifa kuenea juu ya Bobbi Kristina,Gordon hajaruhusiwa na Familia kuweza kumuona mpezni wake.

Mwanasheria wake wa Atlanta Randly Kessler amesema ‘ Nick amejaribu,binafsi,kufanya kila kinachowezakana kumuona Bobbi Kristina’.Anachotaka Nick ni kumuona binadamu anayempenda Bobbi na anatumaini ombi lake litafanikiwa.


Inataarifiwa kuwa jeshi la Polisi Rosweell huko Marekani  limefungua uchunguzi wa uhalifu wa kesi hiyo na Gordon ni mmoja ya watu watakaohusika kufanyiwa uchunguzi kujua chanzo cha yaliyomkuta Bobbi Kristina


Gordon anaingizwa katika shutuma hizo kutokana na mwili wa Bobbi Kristina Brown umekutwa una majeraha na kuhisiwa Gordon anahusika juu ya hilo.

19 Feb 2015

0 maoni:

Chapisha Maoni

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top