Na hosea Mchopa #UO 1
Dunia
ya kwanza ina tofauti kubwa sana na dunia ya tatu watanzania tunayoishi lakini
linapofika suala la mtoto mdogo kuingia katika uhusiano na mtu asiye rika lake
tunafanana.Wote tunahisi ni kitu kisichokubalika kirahis kutazamaika.
![]() |
Tyga na Kylie |
Hii ni yako #UO
Katika
mshindo mkubwa ambao rapa mwenye asili ya Canada Drake aliutumia katika ujio wa albamu yake ya If you
are reading this its too late ni kumkosoa rapa ambaye yupo nae katika kundi
moja Young Money Tyga ni kuhusu uhusiano wake na Kylie Jenner.
Jamii
kubwa ilikuwa na maswali mengi juu ya familia inayopenda umaarufu duniani The
Kadarshian wanawezaje kumwacha binti mdogo kuwa na mahusiano na mtu ambaye
hayuko katika rika lake.Na wapenzi wengi wa muziki walihisi Tyga hawezi kuwa
sahihi kushindwa kuepukana na Kylie Jenner.
Michael
Ray Nguyen Stevenson ‘Tyga’ ana miaka 25
na Kylier Jenner ana miaka 17 mapenzi yao yameleta gumzo kutokana umri wa
Jeneer kuwa bado si sahihi kutoka na Tyga mwenye miaka 25.
![]() |
Tyaga na Kylie Jenner |
Hii ni kama kwetu
Tanzania tunaamini miaka 17 ni umri ambao bado mtoto anakuwa chini ya familia
hata maamuzi yake mengi tunamini yanaweza kuwa hayajaona mbali.
Chris
Brown mtu wakaribu na Tyaga nae kwa upande wake ameeleza kuhusu sakata hilo
kuwa pamoja na jamii kumkashifu yeye ataendelea kuwa nae karibu kama zamani.Hili
jambo pia limeanza kuonesha Brown nae amebariki sakata hilo.
![]() |
Criss Brown |
Kauli ya Brown
"Whatever decision my man wants to make, I’m gonna rock with
him. I’m not gonna fight any of his battles.
--
--
Kupitia redio ya 9.23 AMP Radio Tyga ameonekana wazi kutojali watu wanaongea nini kuhusu mahusiano yake kwa Kylie huku akificha kuweka wazi kirahisi kuhusu mapenzi yao.
![]() |
Tyga akiongea katika 9.23 AMP Radio |
Tyga akiongea AMP RADIO 9.23 akiwa na msanii Cris Brown katika kipindi kilichohusu albamu yao ya Fan Of A Fan pamoja na kushindwa kuweka wazi moja kwa moja kuwa mapenzi kwa Kylie,amesema upendo wake kwa Kylie utazidi kuimarika.
![]() |
Tyga na Cris Brown |
0 maoni:
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.