Na Hosea Mchopa
Mechi hii inaifanya klabu inayotetea kombe la ligi kuu
uingereza Manchester City kutofanikiwa kabisa kupata ushindi katika uwanja wa nyumbani wa klabu ya
Liverpool Anfield tangu may 2003.
#hii kwa ajili yako
Mbele ya mashabiki 44,590 mwamuzi mahiri katika ligi kuu ya
Uingereza Mark Clatternburg alilazmika kupiga kipyenga cha goli dakika ya 11 tu
ya mchezo huo baada ya Henderson kufunga bao.
Goli la Henderson lilisawazishwa katika kipindi cha kwanza tu cha mchezo huo
baada ya Edin Dzeko kuwasimamisha mashabiki wa city kwa bao lake tamu dakika ya
25.
Mchezaji wa kimataifa raia wa Brazil Phippe Coutinho
ameiwezesha klabu yake y a Liverpool kuweza kusogea hadi nafasi ya tano pointi
2 nyuma ya Manchester United.
Matokeo ya Leo yanaifanya klabu ya Chelsea kuizidi klabu ya
Manchester City kwa jumla ya point 5.
MUHIMU KUFAHAMU
Goli la kwanza la Henderson la ligi kuu ya uingereza
alilifunga dhidi ya Manchester city akiwa na Sunderland na jana alifungia Liverpool
goli la kwanza katika ushindi wa bao 2.
Liverpool wamejitengenezea rekodi ya aina yake kwa mwaka wa
2015 kutofungwa katika ligi kuu ya uingereza.
Vincet company alifanikiwa kufikisha mechi 200 za ligi kuu
uingereza.
Mfungaji wa bao pekee la Man City Edin Dzeko amwefunga mabao
manne msimu huu.
Kocha Brendan Rogers alijitengenezea rekodi nyingine dhidi
ya Manuel Pellegrini kwa kushinda mechi mbii na kupoteza mbili.
0 maoni:
Chapisha Maoni