Na Hosea Mchopa #UO 1
Siku zinasogea kwa haraka pale jambo linaloshika hisa za watu wengi linaposubiriwa kwa hamu.

Katika ulimwengu ambao watu wanangoja wanaume 22 waingie katika uwanja na kupambana ili mpira uzame wavuni.kilichokuwa kinasubiriwa kimetimia

#Hiii kwa ajili yako


Baada ya hatua ya 16 kumalizkia na kupata washindi.Kuanzia tarehe 14-15 na 21-22 dunia itaendelea kufaidi utamu wa soka la ulaya.Hii ni ratiba ya mechi za robo fainali za ligi ya mabingwa ulaya.

Paris St Germain             v          Barcelona


Atletico Madrid                    v                      Real Madrid


Porto                                  v                Bayern Munich

Juventus                           v               Monaco.




Kwa upande wa kombe la ulaya(europa leaugue) 

Napoli v Wolsburg

Dynamo Kiev v Fiorentina

Sevilla v Zenit St Petersburg

Dnipro v  Club Brugge

ambazo zitachezwa april 16  NA 23 april 


20 Mar 2015

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Top