na Hosea Mchopa

katika ufunguzi wa michuano ya iaaf  world champion beijing 2015 nchi ya eritrea yaanza kucheka kwa kuvuna ushindi.

kijana wa miaka 19 Ghirmay Ghebreslassie ameweka historia tamu ya maisha hapo jana kwa kuwa kijana mdogo wa miaka 19 wa kwanza kuweza kutwaa  medali ya dhahabu ya mbio za marathon katika iaaf.
Ghirmay Ghebreslassie



pia kuwa mueritria  wa kwanza kufanya hivyo kutwaa medali ya dhahabu katika iaaf world champion.
Ghirmay Ghebreslassie alitumia masaa 2 dakika 12 na skunde 28 kumaliza mbio hizo na kubeba medali ya dhahabu.

Yemane Tsegay wa Ethiopia alitumia masaa 2 dakika 13 na sekunde 08 wakati Munyo Solomon Mutai wa Uganda akitumia masaa 2 na dakika 13 na sekunde 08.

ukitaja mita 10000 huwezi kabisa kumsahau bingwa mara nne wa michuano hiyo haile gebreselassie ambapo miaka 16 imepita tangu aweke rekodi hiyo.

Ghirmay Ghebreslassie
wafukuza upepo wa kitanzania waliokuwepo katika ufunguzi wa michuoano  hiyo waambulia patupu baada ya alphonce simbu kuwa wa 12 akitumia masaa 2 dakika 16 na sekunde 15.

ezekiel jaffary  yeye akikamata namba 27 akitumia masaa 2 dakika 23 na sekunde 43 wakati nahodha fabiano joseph akiwa wa 42 akitumia masaa 2dakika 35 na sekunde 27 kumaliza
22 Aug 2015

0 maoni:

Chapisha Maoni

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top